Ni toleo jipya toka kwa THE CHEN wakitokea Arusha, barikiwa na Audio Acapella hii…..

Waimbaji wa The Chen walianza wakiwa wanne yaani Elifuraha Msese, Joseph Senguo, Esther Meda na Rebeca Mtinga na huku muhasisi wa kikundi alikuwa Elifuraha Msese.

Elifuraha Msese alipata wazo hili la kuanzisha kikundi mara baada ya kufikiria kufanya kitu cha tofauti katika mziki wa injili kwa mtindo wa akapella yaani uimbaji usiotumia ala na ndipo alikutana na wenzake hawa ambao alisoma nao.
Barikiwa na wimbo wao wa NJOONI KWANGU

No comments:

Post a Comment