TUKIO LA IMBA KWA AKILI KUFANYIKA LEO KATIKA UFUKWE WA MSASANI, MRATIBU WA TUKIO HILI MR MARTIN NGUSSA AZUNGUMZA HAYA

 Ni tukio la kihistoria ambapo waimbaji watakutana kwa ajili ya mazoezi na kubadilishana uzoefu wa tasnia ya uimbaji ikiwemo kutumia mitandao ya kijamii, kufahamu namna ya kutumia vyombo vya muziki, pia kufahamu ya kuwa muziki ni kazi, namna ya kujua video nzuri ni zipi na kujua mengine mengi juu ya tukio hili linafanyika mapema asubuhi ya leo, msikilize mratibu wa tukio Mr Martin Ngussa alipokuwa ndani ya studio za Shua Media.

No comments:

Post a Comment