PICHA: KUTOKA KWENYE TUKIO LA KUTIMIZA MWAKA MMOJA WA KIKUNDI CHA THE HEALING VOICE MAPEMA LEO

Septemba5 ni siku ya kutimiza mwaka mmoja wa huduma ya uimbaji wa kikundi cha The Healing Voice, na leo katika viwanja vya fukwe za Kijiji Kigamboni, zifuatazo ni picha za matukio mbalimbali.
Akinyi Gomba
Betsheba muimbaji wa Kikundi cha Born to Praise
Rafikiel Kisaka muimbaji kikundi cha The Healing Voice



Lucas Simon kikundi cha Born to Praise

Waimbaji wa kikundi cha The Healing Voice kwa pamoja wakishika keki (imezingilwa)

No comments:

Post a Comment