MKUTANO WA SESHENI WA UNIONI YA STU KUANZA RASMI LEO, WAJUMBE TAKRIBANI 89 WAHUDHURIA HAPO JANA JIONI

 Mchungaji Stephen Letta hapo jana jioni ameandika katika ukurasa wa facebook maneno hapa na kuweka picha mbalimbali za kutano hili.
"Mkutano wa sesheni wa Union ya Kusini mwa Tanzania (STU) umeanza hapa Mwenge kanisani jioni hii. Wajumbe rasmi wa mkutano huo wapatao 89 kutoka konferensi tatu za Union hii, taasisi za Union, ofIsi kuu ya Union na ofisi kuu ya Divisheni wameanza kuingia. Mkutano utazinduliwa rasmi kesho asubuhi na viongozi wa Divisheni"-Stephen Letta





No comments:

Post a Comment