USHUHUDA: KITABU CHA TUMAINI KUU SASA CHAENDELEA KUPENYA, KIMEFIKA HADI KWENYE NYUMBA YA KULALA WAGENI

Mara nyingi katika maisha watu wengi hasa tuliopata maendeleo na huku tuko kwenye imani,tumekuwa tukiona aibu kulitangaza jina la Bwana,leo tumekusogezea ushuhuda huu aliouweka mtumishi wa Bwana Dr.Jimmy Yohazi katika ukurasa wa Facebook kwenye group la kanisa la Mwenge sda
aliandika hivi;-
"Nilikuta vitabu vya Tumaini Kuu kwenye Hoteli ya Victoria Palace Mwanza. Nikaambiwa kwamba mmiliki wa hoteli hii ni Muadevtista Msabato. Anafanya uinjilisti kwa kutumia vitabu hivi kwa kuviweka katika kila chumba. Mgeni anayependa, anaruhusiwa kuchukua na kuondoka nacho. Mkakati mzuri."

HABARI/PICHA NA JIMMY YONAZI &INJILI LEO BLOG

No comments:

Post a Comment